Rukia maudhui
Hesabu 35:9-11

Hesabu 35:9-11

9
Kisha Bwana akamwambia Mose:
10
“Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,
11
chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya makimbilio, ambayo mtu ambaye ameua mwenzake bila kukusudia aweza kukimbilia humo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options