Hesabu 32:35-38
35
Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,
36
Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.
37
Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,
38
pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.
Settings