Rukia maudhui
Hesabu 15:30-31

Adhabu ya Dhambi ya Kimbelembele

Hesabu 15:30-31
30
“ ‘Lakini yeyote ambaye amefanya dhambi kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru Bwana, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
31
Kwa sababu amelidharau neno la Bwana na kuvunja amri zake, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali; hatia yake inabaki juu yake.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options