Skip to content
Hesabu 13:1-12

Hesabu 13:1-12

1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”
3
Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.
4
Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5
kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6
kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7
kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;
8
kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9
kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;
10
kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,
11
kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;
12
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options