Rukia maudhui
Nehemia 13:30-31

Kutakasa na Kuweka Wakfu kwa Mwisho

Nehemia 13:30-31
30
Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.
31
Pia nilihakikisha kwamba matoleo ya kuni yaliletwa kwa wakati unaopaswa, na malimbuko kwa wakati wake. Ee Mungu wangu, unikumbuke, unitendee mema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options