Rukia maudhui
Nehemia 10:30-31

Nadhiri Kuhusu Maisha ya Kijamii na Kiuchumi

Nehemia 10:30-31
30
“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
31
“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options