Rukia maudhui
Nahumu 1:9-11

Hukumu dhidi ya Wapinzani wa Mungu

Nahumu 1:9-11
9
Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
10
Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
11
Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja, ambaye anapanga shauri baya dhidi ya Bwana na kushauri uovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options