Rukia maudhui
Mathayo 8:16-17

Mathayo 8:16-17

16
Jioni ile, wakamletea watu wengi waliopagawa na pepo wachafu, naye akawatoa wale pepo wachafu kwa neno lake, na kuwaponya wagonjwa wote.
17
Haya yalifanyika ili litimie lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba: “Mwenyewe alitwaa udhaifu wetu na alichukua magonjwa yetu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options