Rukia maudhui
Mathayo 7:28-29

Mamlaka ya Mafundisho ya Yesu

Mathayo 7:28-29
28
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
29
kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options