Skip to content
Mathayo 5:39-44

Mathayo 5:39-44

39
Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
40
Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.
41
Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.
42
Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie kisogo yeye atakaye kukukopa.
43
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende jirani yako na umchukie adui yako.’
44
Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options