Skip to content
Mathayo 27:12-14

Mathayo 27:12-14

12
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
13
Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
14
Lakini Yesu hakumjibu hata kwa shtaka moja, kiasi kwamba mtawala alishangaa sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options