Mathayo 27:12-14
12
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
13
Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
14
Lakini Yesu hakumjibu hata kwa shtaka moja, kiasi kwamba mtawala alishangaa sana.