Rukia maudhui
Mathayo 2:9-11

Mathayo 2:9-11

9
Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
10
Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
11
Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options