Rukia maudhui
Mathayo 13:45-46

Mathayo 13:45-46

45
“Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
46
Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options