Rukia maudhui
Mathayo 11:28-30

Njooni Kwangu Mpate Raha

Mathayo 11:28-30
28
“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29
Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
30
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options