Rukia maudhui
Marko 8:31-32

Marko 8:31-32

31
Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa Mwana wa Adamu lazima atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini baada ya siku tatu afufuke.
32
Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options