Rukia maudhui
Marko 8:10-13

Mafarisayo Wadai Ishara

Marko 8:10-13
10
aliingia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda sehemu za Dalmanutha.
11
Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
12
Akahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Amin nawaambieni, hakitapewa ishara yoyote.”
13
Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ngʼambo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options