Rukia maudhui
Marko 5:25-26

Marko 5:25-26

25
Hapo palikuwa na mwanamke aliyekuwa amesumbuliwa na tatizo la kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili.
26
Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa mikono ya matabibu wengi, na kutumia kila kitu alichokuwa nacho. Lakini badala ya kupona, hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options