Skip to content
Marko 1:40-44

Marko 1:40-44

40
Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Yesu, akamwomba akipiga magoti, akamwambia, “Ukitaka, waweza kunitakasa.”
41
Yesu, akiwa amejawa na huruma, akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Nataka. Takasika!”
42
Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.
43
Baada ya Yesu kumwonya vikali, akamruhusu aende zake
44
akimwambia, “Hakikisha humwambii mtu yeyote habari hizi, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options