Rukia maudhui
Malaki 4:5-6

Unabii wa Kurudi kwa Eliya

Malaki 4:5-6
5
“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana.
6
Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options