Rukia maudhui
Luka 8:19-21

Yesu Afafanua Familia Yake ya Kweli

Luka 8:19-21
19
Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.
20
Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
21
Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options