Luka 18:24-27
24
Yesu akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
25
Hakika ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
26
Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
27
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”
Settings