Skip to content
Luka 17:2

Luka 17:2

Inaonyesha mstari 2 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mambo yanayosababisha watu watende dhambi hayana budi kutukia. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha.
2
Ingekuwa heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini, kuliko kumsababisha mmojawapo wa hawa wadogo kutenda dhambi.
3
Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
4
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
5
Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options