Rukia maudhui
Luka 16:22-23

Luka 16:22-23

22
“Wakati ukafika yule maskini akafa, nao malaika wakamchukua akae pamoja na Abrahamu. Yule tajiri naye akafa na akazikwa.
23
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options