Rukia maudhui
Walawi 26:1-2

Masharti ya Msingi ya Agano

Walawi 26:1-2
1
“ ‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, au mnara, wala jiwe la kuabudia, na pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
2
“ ‘Zishikeni Sabato zangu na kuheshimu mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options