Rukia maudhui
Walawi 23:3-4

Sabato ya Kila Juma

Walawi 23:3-4
3
“ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Popote mnapoishi, ni Sabato kwa Bwana.
4
“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilizoamriwa:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options