Rukia maudhui
Walawi 19:32-34

Heshima kwa Wazee na Mgeni

Walawi 19:32-34
32
“ ‘Uwapo mbele ya mzee, simama ili kuonyesha heshima kwa wazee, nawe umche Mungu wako. Mimi ndimi Bwana.
33
“ ‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.
34
Mgeni anayeishi pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options