Rukia maudhui
Walawi 13:45-46

Kanuni kwa Mwenye Ukoma Uliothibitishwa

Walawi 13:45-46
45
“Mtu mwenye ugonjwa kama huo wa kuambukiza ni lazima avae nguo zilizoraruka, awachilie nywele zake bila kuzichana, afunike sehemu ya chini ya uso wake, na apige kelele, ‘Najisi! Najisi!’
46
Kwa muda wote atakaokuwa na ugonjwa huo wa kuambukiza atabaki kuwa najisi. Ni lazima aishi peke yake; ni lazima aishi nje ya kambi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options