Rukia maudhui
Walawi 11:13-19

Ndege Walio Safi na Wasio Safi

Walawi 11:13-19
13
“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,
14
mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
15
aina zote za kunguru,
16
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,
17
bundi, mnandi, bundi mkubwa,
18
mumbi, mwari, nderi,
19
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options