Rukia maudhui
Walawi 10:8-11

Kanuni za Mwenendo wa Kikuhani

Walawi 10:8-11
8
Kisha Bwana akamwambia Aroni,
9
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
10
Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
11
na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options