- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Sala ya Kutetewa na Kulipiziwa Kisasi
Maombolezo 3:55-66
55
Nililiitia jina lako, Ee Bwana, kutoka vina vya shimo.
56
Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako kilio changu nikuombapo msaada.”
57
Ulikuja karibu nilipokuita, nawe ukasema, “Usiogope.”
58
Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu.
59
Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa. Tetea shauri langu!
60
Umeona kina cha kisasi chao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.
61
Ee Bwana, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:
62
kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia dhidi yangu mchana kutwa.
63
Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama, wananidhihaki katika nyimbo zao.
64
Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana, kwa yale ambayo mikono yao imetenda.
65
Weka pazia juu ya mioyo yao, laana yako na iwe juu yao!
66
Wafuatilie katika hasira na uwaangamize kutoka chini ya mbingu za Bwana.
Settings