Rukia maudhui
Waamuzi 8:29-32

Miaka ya Mwisho na Kifo cha Gideoni

Waamuzi 8:29-32
29
Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.
30
Alikuwa na wana sabini wa kwake mwenyewe, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
31
Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye alimwita Abimeleki.
32
Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa na umri mzuri wa uzee, na akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake huko Ofra ya Waabiezeri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options