Rukia maudhui
Waamuzi 19:29-30

Mlawi Atoa Wito wa Kuchukua Hatua

Waamuzi 19:29-30
29
Alipofika nyumbani, akachukua kisu na kumkatakata yule suria kiungo kwa kiungo, sehemu kumi na mbili, na kuvipeleka hivyo vipande katika sehemu zote za Israeli.
30
Kila mtu aliyeona akasema, “Jambo la namna hii halijaonekana wala kutendeka, tangu Israeli walipopanda kutoka Misri. Fikirini juu ya jambo hili! Tafakarini juu ya jambo hili! Tuambieni tufanye nini!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options