Rukia maudhui
Waamuzi 13:24-25

Kuzaliwa kwa Samsoni

Waamuzi 13:24-25
24
Yule mwanamke akazaa mtoto wa kiume akamwita jina lake Samsoni. Kijana akakua, naye Bwana akambariki.
25
Roho wa Bwana akaanza kumsukuma wakati alipokuwa huko Mahane-Dani, kati ya Sora na Eshtaoli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options