Rukia maudhui
Yoshua 21:41-42

Muhtasari wa Miji ya Walawi

Yoshua 21:41-42
41
Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.
42
Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options