Yoshua 18:21-28
21
Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,
22
Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,
23
Avimu, Para na Ofra,
24
Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
25
Gibeoni, Rama na Beerothi,
26
Mispa, Kefira, Moza,
27
Rekemu, Irpeeli, Tarala,
28
Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.
Settings