Rukia maudhui
Yohana 9:35-38

Yesu Ajifunua kwa Mtu Aliyeponywa

Yohana 9:35-38
35
Yesu aliposikia kuwa wamemfukuzia nje yule mtu aliyemfumbua macho, alimkuta akamuuliza, “Je, unamwamini Mwana wa Adamu?”
36
Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”
37
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
38
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options