Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
2
ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
3
Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.
4
Wakati huo ilimlazimu apitie Samaria.