Skip to content
Yohana 4:1-3

Yesu Anaondoka Kwenda Galilaya

Yohana 4:1-3
1
Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
2
ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
3
Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options