Skip to content
Yohana 4:4-6

Yohana 4:4-6

4
Wakati huo ilimlazimu apitie Samaria.
5
Akafika kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa mwanawe Yosefu.
6
Huko ndiko kulikokuwa na kile kisima cha Yakobo. Naye Yesu alikuwa amechoka kwa kuwa alikuwa ametoka safarini. Akaketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options