Rukia maudhui
Yohana 20:14-15

Yohana 20:14-15

14
Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Yesu amesimama, lakini hakumtambua.
15
Yesu akamwambia, “Mwanamke, mbona unalia? Unamtafuta nani?” Maria akidhani ya kuwa aliyekuwa anaongea naye ni mtunza bustani, kwa hiyo akamwambia, “Bwana, kama ni wewe umemchukua, tafadhali nionyeshe ulikomweka, nami nitamchukua.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options