Yohana 17:15-20
15
Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu.
16
Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu.
17
Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
18
Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.
19
Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
20
“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao
Settings