Skip to content
Yohana 12:32-34

Yohana 12:32-34

32
Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.”
33
Yesu aliyasema haya akionyesha ni kifo gani atakachokufa.
34
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options