Rukia maudhui
Ayubu 8:8-10

Mamlaka ya hekima ya kale

Ayubu 8:8-10
8
“Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,
9
kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote, nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.
10
Je, hawatakufundisha na kukueleza? Je, hawataleta maneno kutoka kwenye kufahamu kwao?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options