Rukia maudhui
Ayubu 39:5-8

Punda-mwitu asiyeweza kufugwa

Ayubu 39:5-8
5
“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake?
6
Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.
7
Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.
8
Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options