Rukia maudhui
Ayubu 39:1-4

Uangalizi wa Mungu kwa viumbe wa porini

Ayubu 39:1-4
1
“Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake?
2
Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo? Je, unajua majira yao ya kuzaa?
3
Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao; utungu wa kuzaa unakoma.
4
Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani; huenda zao wala hawarudi tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options