Ayubu 38:22-24
22
“Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
23
ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
24
Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
Settings