Rukia maudhui
Ayubu 35:5-8

Matendo ya mwanadamu hayamuathiri Mungu

Ayubu 35:5-8
5
Tazama juu mbinguni ukaone; yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.
6
Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu? Kama dhambi zako zikiwa nyingi, hilo linamfanyia nini Mungu?
7
Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini, au yeye anapokea nini mkononi kwako?
8
Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe, nayo haki yako inawafaa wanadamu tu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options