Fò sí àkóónú
Ayubu 34:5-9

Maneno ya Ayubu yahukumiwa

Ayubu 34:5-9
5
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
6
Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
7
Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
8
Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
9
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options