Skip to content
Ayubu 34:1-4

Ayubu 34:1-4

1
Kisha Elihu akasema:
2
“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
4
Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options