Skip to content
Ayubu 34:1-4

Elihu awataka wenye hekima wasikilize

Ayubu 34:1-4
1
Kisha Elihu akasema:
2
“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
4
Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options