Skip to content
Ayubu 33:31-33

Mwito wa mwisho wa kuitikia

Ayubu 33:31-33
31
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
32
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
33
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options