Skip to content
Ayubu 33:31-33

Ayubu 33:31-33

31
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
32
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
33
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options